MAFUA MAKALI (INFECTIOUS CORYZA)


Huu ni ugonjwa amba una shambulia kuku na ndege waporini , nauna wapata hasa kuku wa lika lolote.

Ugonjwa huu huanza taratibu kwa kuku mmoja na kwenda kwa kuku wengine/mwingine endapo usipo udhibiti mapema na husababisha machokutoa machozi

 

 


Ugonjwa huu hushambulia sana mfumo wa hewa na kupelekea nuonekana kwa dalili zifuatazo:-

·       Kuku kukoroma

·       Makamasi mazito kutoka puani.

·       Kuku Kupiga chafya sana.

·       Uso kuvimba hasa maeneo ya macho.

·       Vifo vingi bandani kila siku


NINI KIFANYIKE

·       Hakikisha banda la kuku lina ruhusu hewa ya kuingia na kutoka

·       Hakikisha unapo weka Maranda yasiwe yaliyo toka mashineni

·       Hakikisha banda la kuku wa dogo lisiwe mwelekeo wa kuku kubwa unapotokea upepo.

·       Usibadilishe randa mara kwa mara bandani

 

NB:ugonjwa huu umekua ukisababiswa na ukosefu wa vitamin A (AVITAMINOSIS) Abayo husaidia katika uono/vision hata kwa binadamu pia

 

Tiba

·       Bwasafish kuku wako wakio ugua kwa maji ya vuguvugu na chumvi,pia uwe mfuatiliajiwa kuku wako

·       Kukuwapewe madini ya vitamin  kama vile:-

     -AMINTOTO

     -OCTAVIT nk. Wachanganyie kwa kipimo cha Gram 10/mls (kijiko cha chai) kwa lita 20 za maji

Wapewe kwa siku 3 mpaka 5 mfululizo

 

KWA USHAURI ZAIDI WASILIANA NA DAKTARI WA MIFUGO ALIYE KARIBU NAWE

 

Imeandaliwa na

*  jedidiah mattaba

                  MTAALAMU WA KUKU

                 0621627094

 

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAGONJWA KWA VIFARANGA WA KIENYEJI

MDONDO/KIDERI(NEWCASTLE DISEASE)